Je umekonda na unataka kunenepa? fuata njia hizi.

Image result for fat black man eating
ukila sana utanenepa
 Ili unenepe hauna budi kutuliza akili kuridhika na pia zingatia aina hizi za vyakula kila siku:
Asubuhi.
Chapati 3,supu ya utumbo,soda baridi moja ukishamaliza shushia na lita 1 ya maji.

Mchana.
Chips Kuku,mayai mawili pembeni,soda baridi,ukimaliza shushia maji baridi lita 1

Usiku.
Nyama nusu,ndizi 4,biereee 4 then ulale,fanya hivyo kwa mwezi utanenepa ukifikia unene unaoutaka unaacha ukizidisha unadead.
Kama hutanenepa basi nashauri waone wataalamu wa afya watakupatia dawa lishe.

Comments

Popular Posts